MAJALIWA ATEMBELEA ENEO LA UJENZI WA MJI MPYA SERIKALI YA KOREA
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiongozana na Msimamizi wa Ujenzi wa Mji Mpya wa Serikali ya Korea, Bw. Lee Sang Rae (kushoto) kuteremka kwenye mnara uliomwezesha kuona eneo lote la ujenzi wakati alipotembelea eneo la ujenzi wa mji huo lililopo Sejong, Oktoba 26, 2022 kwa lengo la kupata uzoefu utakaosaidi kuboresha ujenzi unaoendelea wa mji wa serikali Dodoma. (Picha na
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed